• Home
  • About
  • Contact

Tiktak Tanzania | Sports News and Scores

Habari za Michezo na Matokeo Mubashara

  • Home
    • MINGINEYO
    • DIMBANI
    • HABARI
    • MAKALA
    • KIMATAIFA
    • VPL
    • KIKAPU
    • KUHUSU SISI
    • MSA
    • WASILIANA NASI

    Featured

    Recent Posts

    DIMBANI

    SIMBA YAKOSA TIKETI YA KWENDA GOODISON PARK

    June 10, 2018
    Timu ya Simba imeshindwa kupata tiketi ya kwenda Uingereza kucheza na Everton baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Gor Mahia...Read More
    DIMBANI

    SINGIDA YAAMBULIA NAFASI YA TATU SPORTPESA

    June 10, 2018
    Singida United imeibuka mshindi wa tatu katika michuano ya SportPesa Super Cup baada ya kuifunga Kakamega Homeboyz kwa mikwaju ya penati ...Read More
    DIMBANI

    YANGA YAUNDA UONGOZI WA MPITO BAADA YA KUKUBALI MABADILIKO

    June 10, 2018
    Klabu ya Yanga imeunda kamati ya watu 12 kwa ajili ya kuiongoza timu katika kipindi hiki ambacho wamekubali kuingia katika mfumo mpya wa ...Read More
    DIMBANI

    KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOCHEZA DHIDI YA GOR MAHIA

    June 10, 2018
    1. Aishi Manula 2. Shomari Kapombe 3. Paul Bukaba 4. Erasto Nyoni 5. Yusuph Mlipili 6. Jonas Mkude 7. Shiza Kichuya 8. Mzamiru  Y...Read More
    DIMBANI

    MZEE AKILIMALI: MABADILIKO YANGA NI LAZIMA

    June 09, 2018
    Katibu wa baraza la wazee wa timu ya Yanga,  Mzee Ibrahim Akilimali amesema kwa sasa hakuna mjadala kuhusu mabadiliko ya uendeshaji wa kl...Read More
    DIMBANI

    RASMI NGOMA NJE YA UWANJA WIKI TISA

    June 09, 2018
    Mshambuliaji mpya wa timu ya Azam, Donald Ngoma ataendelea kukaa nje ya uwanja kwa wiki tisa kutoka leo kuuguza jeraha la uvimbe wa got...Read More
    DIMBANI

    STRAIKA MBENIN ATHIBITISHA YUPO MBIONI KUTUA YANGA

    June 09, 2018
    Mshambuliaji Marcellin Koukpo raia wa Benin amethibitisha yupo mbioni kujiunga na Yanga ambao wameonyesha nia ya kutaka kumsajili muda m...Read More
    DIMBANI

    MASHABIKI WA SIMBA KUINGIA BURE KESHO FAINALI YA SPORTPESA

    June 09, 2018
    Uongozi wa klabu ya Simba umeweka utaratibu wa kuwalipia tiketi za kuingilia uwanjani mashabiki watakaosafiri kutoka nchini au sehemu nyi...Read More
    DIMBANI

    CHILUNDA MCHEZAJI BORA WA VPL MWEZI MEI

    June 08, 2018
    Mshambuliaji wa timu ya Azam, Shaban Idd 'Chilunda' amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa ligi  mwezi Mei. Chilunda alifunga bao s...Read More
    DIMBANI

    YANGA YATANGAZA KUIKIMBIA SIMBA KAGAME

    June 08, 2018
    Uongozi wa Yanga umethibitisha kuwa haitoshiriki michuano ya kombe la Kagame ambayo wamepangwa kundi moja na watani wao Simba. Miamba h...Read More
    DIMBANI

    MBIVU, MBICHI MAJERAHA YA NGOMA KUJULIKANA KESHO

    June 08, 2018
    Uongozi wa klabu ya Azam umesema utaweka wazi juu ya majeraha yanayo msumbua mshambuliaji wao mpya Donald Ngoma kesho mbele ya Waandishi ...Read More
    DIMBANI

    MASOUD AUKUBALI MZIKI WA SALAMBA

    June 08, 2018
    Licha ya kucheza dakika chache katika mchezo wa nusu fainali dhidi ya KK Homeboyz mshambuliaji mpya wa Simba, Adam Salamba amemvutia koch...Read More
    DIMBANI

    NI GOR MAHIA DHIDI YA SIMBA FAINALI SPORTPESA

    June 07, 2018
    Miamba ya soka Tanzania timu ya Simba itakutana na Gor Mahia katika fainali ya michuano SportPesa Super Cup itayofanyika siku ya Jumapili...Read More
    DIMBANI

    SIMBA YAPIGA HATUA MOJA KUELEKEA GOODISON PARK

    June 07, 2018
    Mabingwa wa Tanzania timu ya Simba imepiga hatua moja kwenda kucheza na Everton ya Uingereza baada ya kuingia fainali ya michuano ya Spor...Read More
    DIMBANI

    DROO YA UHAI CUP YAFANYIKA, KUANZA JUNI 9 DODOMA

    June 07, 2018
    Droo ya ligi ya vijana ya timu zinazoshiriki ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara (VPL) imepangwa kufanyika leo ambapo michuano hiyo itaanz...Read More
    DIMBANI

    KIKOSI CHA SIMBA KINACHOCHEZA DHIDI YA KAKAMEGA

    June 07, 2018
    1,Aishi Manula 2,Shomar Kapombe 3,Mohammed Hussein 4,Paul Bukaba 5,Erasto Nyoni 6,Jonas Mkude 7,Shiza Kichuya 8,Mzamiru Yaasin 9,...Read More
    HABARI

    SAM WA UKWELI AFARIKI DUNIA

    June 06, 2018
    Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Sam wa Ukweli amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika  Hospitali ya Sinza Palestina alipokuwa amel...Read More
    DIMBANI

    MANULA HATIHATI KUIKOSA KAKAMEGA KESHO

    June 06, 2018
    Mlinda mlango namba moja wa timu ya Simba, Aishi Manula huenda akakosa mchezo wa kesho wa nusu fainali wa SportPesa Super Cup dhidi ya Ka...Read More
    KIMATAIFA

    MENDIETA AMTAHADHARISHA GRIEZMANN

    June 06, 2018
    Gaizka Mendieta amemuonya mshambuliaji Antoine Griezmann kuwa atacheza nyuma ya kivuli cha Lionel Messi kama atakubali kujiunga na  Barce...Read More
    KIMATAIFA

    DE BRUYNE AMTETEA GUARDIOLA INSHU YA YAYA TOURE

    June 06, 2018
    Kiungo Kevin De Bruyne amemtetea Meneja Pep Guardiola kuhusu tuhuma za kumbagua Yaya Toure. De Bruyne anaamini raia huyo wa Ivory Coast...Read More
    Older Posts Home
    Subscribe to: Comments ( Atom )

    STAY WITH US

    • Follow on Twitter
    • Like on Facebook
    • Subscribe on Youtube
    • Follow on Instagram

    Facebook

    Tiktaktz.com

    Popular Posts

    • SARE YA FC BARCELONA INAIFANYA KUWA NA TOFAUTI YA ALAMA HIZI NA ATLETICO MADRID
      SARE YA FC BARCELONA INAIFANYA KUWA NA TOFAUTI YA ALAMA HIZI NA ATLETICO MADRID
      Klabu ya Barcelona imelazimishwa sare ikiwa nyumbani kwake Camp Nou dhidi ya klabu ya Getafe kwenye mchezo wa Ligi Kuu Soka nchini Hispani...
    • Yanga Yathibitisha  Safari Yake Kuondoka siku Hii kwenda Shelisheli.
      Yanga Yathibitisha Safari Yake Kuondoka siku Hii kwenda Shelisheli.
      Mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga SC imethibitisha kuwa tayari mipango kwaajili ya safari yake kuelekea Shelisheli kwenye mechi ya mar...
    • WAAMUZI WANNE WATANZANIA WAINGIA KWENYE TUHUMA ZA UPANGAJI WA MATOKEO MICHUANO YA AFRIKA
      WAAMUZI WANNE WATANZANIA WAINGIA KWENYE TUHUMA ZA UPANGAJI WA MATOKEO MICHUANO YA AFRIKA
      Waamuzi wa Tanzania waliosimamia mchezo wa Ligi ya Mabingwa wa Afrika kati ya wenyeji Rayon Sports ya Burundi dhidi ya Lydia Ludic ya nch...
    • TAIFA STARS KUSHUKA DIMBANI KESHO KUWAKARIBISHA CONGO KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI
      TAIFA STARS KUSHUKA DIMBANI KESHO KUWAKARIBISHA CONGO KWENYE MCHEZO WA KIRAFIKI
      Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" kesho inashuka Dimba la Uwanja wa Taifa kuwakaribisha Timu ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ...
    • Makala:Neymar anailambisha dunia asali kwa ncha ya kisu
      Makala:Neymar anailambisha dunia asali kwa ncha ya kisu
      Na:ABDUL MKEYENGE NEYMAR Santos Jr ameiweka dunia ya soka kwenye viganja vyake viwili. Anaitawala kadri anavyojisikia. Katika kipin...
    • SAM WA UKWELI AFARIKI DUNIA
      SAM WA UKWELI AFARIKI DUNIA
      Msanii wa Muziki wa kizazi kipya, Sam wa Ukweli amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika  Hospitali ya Sinza Palestina alipokuwa amel...
    • WAOGELEAJI 150 KUSHIRIKI MASHINDANO YA TAIFA KESHO BWAWA LA SHULE YA KIMATAIFA YA TANGANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
      WAOGELEAJI 150 KUSHIRIKI MASHINDANO YA TAIFA KESHO BWAWA LA SHULE YA KIMATAIFA YA TANGANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
      Waogeleaji takribani 150 kutoka Klabu 12 zilizopo hapa nchini wanatarajia kushiriki mashindano ya Taifa yatakayoanza kesho na kuhitmishwa ...
    • SALAMBA ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA
      SALAMBA ASAINI MIAKA MIWILI SIMBA
      Mshambuliaji Adam Salamba amejiunga na mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom timu ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili kwa ajili ya msimu ujao ...

    Total Pageviews

    Blog Archive

    Labels

    DIMBANI HABARI KIKAPU KIMATAIFA KRIKETI KUOGELEA MAKALA MASUMBWI MINGINEYO NBA TIZI ULAYA VPL

    Pages

    • Home
    • KUHUSU SISI
    • MSA
    • WASILIANA NASI
    Created By SoraTemplates | Distributed By MyBloggerThemes